← Rudi kwenye Masomo

Somo la Biblia

Masomo ya Msingi ya Biblia

Kozi hii inamfundisha mwanafunzi misingi muhimu ya Biblia kuhusu Mungu, asili ya mwanadamu, dhambi, wokovu, neema, sheria, Sabato, ubatizo, hali ya wafu, kurudi kwa Yesu mara ya pili, na tumaini la mbingu mpya na nchi mpya.

Moduli 10 Mada 71 Maswali 53 Muda 10 saa Cheti
Masomo ya Msingi ya Biblia

Kuhusu Somo Hili

Karibu katika kozi ya Masomo ya Msingi ya Biblia.

Kozi hii imeandaliwa kumsaidia mwanafunzi kuelewa misingi muhimu ya imani ya Biblia kwa njia rahisi, ya hatua kwa hatua, na yenye maswali ya kujipima uelewa mwishoni mwa kila somo.

Katika kozi hii utajifunza kuhusu Mungu na kusudi lake kwa mwanadamu, Biblia kama Neno la Mungu linaloaminika, asili ya dhambi, mpango wa wokovu, neema na sheria, Sabato, ubatizo, hali ya wafu, kurudi kwa Yesu mara ya pili, pamoja na ahadi ya mbingu mpya na nchi mpya.

Malengo ya kozi:
1. Kumsaidia mwanafunzi kumfahamu Mungu kama Muumbaji, Mtawala, Baba na mwenye upendo.
2. Kumfundisha mwanafunzi kwa nini Biblia ni Neno la Mungu linaloweza kuaminiwa.
3. Kueleza asili ya dhambi na matokeo yake kwa mwanadamu.
4. Kufafanua mpango wa wokovu kupitia Yesu Kristo.
5. Kueleza uhusiano kati ya neema, sheria ya Mungu, na maisha ya utii.
6. Kumsaidia mwanafunzi kuelewa Sabato, ubatizo, hali ya wafu, na tumaini la kurudi kwa Yesu.
7. Kumwandaa mwanafunzi kufanya maamuzi ya kiroho kwa kumkabidhi Yesu maisha yake.

Muundo wa kozi:
Kozi hii ina masomo 10. Kila somo lina mafundisho ya msingi, mafungu ya Biblia ya kusoma, video za kujifunza, na maswali ya kujipima uelewa.

Masomo yaliyomo:
1. Mpango wa Mungu na Asili ya Mwanadamu
2. Biblia, Kitabu Unachoweza Kukiamini
3. Anguko la Mwanadamu / Asili ya Dhambi
4. Mpango wa Wokovu
5. Neema na Sheria
6. Sabato
7. Ubatizo
8. Wafu Wako Wapi?
9. Kurudi kwa Yesu Mara ya Pili
10. Mbingu Mpya na Nchi Mpya

Baada ya kumaliza kozi hii, mwanafunzi atakuwa na uelewa mzuri wa mafundisho ya msingi ya Biblia na ataweza kuendelea kujifunza masomo ya juu zaidi kwa msingi imara wa kiroho.

Yaliyomo kwenye Somo

Fungua kila moduli kuona mada, majaribio, na hatua za kujifunza.

71 Mada
1

Mungu Mmoja wa Kweli

Mada ya 1
2

Sifa za Mungu

Mada ya 2
3

Tabia ya Mungu

Mada ya 3
4

Mwanadamu na Mahusiano Yake na Mungu

Mada ya 4
5

Mungu Alimuumbaje Mwanadamu?

Mada ya 5
6

Kusudi la Mungu kwa Mwanadamu

Mada ya 6

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Biblia Iliandikwa na Nani?

Mada ya 1
2

Biblia Iliandikwa Lini?

Mada ya 2
3

Faida ya Biblia kwa Mwanadamu

Mada ya 3
4

Ushahidi Kuwa Biblia ni Neno la Mungu

Mada ya 4
5

Biblia Iliandikwa kwa Ajili ya Nani?

Mada ya 5

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Shetani Alitokea Wapi?

Mada ya 1
2

Shetani Aliwadanganyaje Adamu na Hawa?

Mada ya 2
3

Dhambi ni Nini?

Mada ya 3
4

Adamu Alipoteza Nini Baada ya Dhambi?

Mada ya 4
5

Mtu Anayefanya Dhambi Anakuwaje?

Mada ya 5
6

Uamuzi wa Kumtii Mungu

Mada ya 6

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Wokovu ni Nini?

Mada ya 1
2

Mpango wa Wokovu Ulianza Lini?

Mada ya 2
3

Kilichohitajika Kuleta Wokovu

Mada ya 3
4

Ni Nani Anayeweza Kuokoa?

Mada ya 4
5

Ni Nani Atakayeokolewa?

Mada ya 5
6

Wanaokataa Mpango wa Wokovu

Mada ya 6
7

Mpango wa Wokovu Utakamilika Lini?

Mada ya 7

Jaribio la Moduli

Maswali 6 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Maana ya Sheria

Mada ya 1
2

Asili ya Sheria ya Mungu

Mada ya 2
3

Sheria Inavyopaswa Kutunzwa

Mada ya 3
4

Yesu Kristo na Sheria ya Mungu

Mada ya 4
5

Ukomo wa Sheria ya Mungu

Mada ya 5
6

Maana ya Neema

Mada ya 6
7

Neema Inatolewaje?

Mada ya 7
8

Nguvu ya Neema kwa Mwanadamu

Mada ya 8
9

Uhusiano wa Neema na Sheria

Mada ya 9

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 98%

Ingia Kwanza
1

Siku ya Ibada na Mapumziko

Mada ya 1
2

Siku ya Sabato ni Siku Gani?

Mada ya 2
3

Maagizo ya Mungu Kuhusu Sabato

Mada ya 3
4

Yesu Kristo Aliitunza Sabato

Mada ya 4
5

Mitume Waliitunza Sabato

Mada ya 5
6

Namna ya Kuitunza Sabato

Mada ya 6
7

Sabato ni Muhuri wa Mungu

Mada ya 7

Jaribio la Moduli

Maswali 7 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Hatua za Mwanadamu Ili Aokolewe

Mada ya 1
2

Maisha Mapya Ndani ya Kristo

Mada ya 2
3

Ubatizo wa Biblia ni wa Namna Gani?

Mada ya 3
4

Ubatizo kwa Kuzamishwa Majini

Mada ya 4
5

Baada ya Kubatizwa, Nini Kinafuata?

Mada ya 5

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Wafu Wako Wapi?

Mada ya 1
2

Mungu Alimuumba Mwanadamu kwa Kutumia Nini?

Mada ya 2
3

Kinachotokea Mtu Anapokufa

Mada ya 3
4

Hali ya Wafu Kulingana na Biblia

Mada ya 4
5

Uongo wa Kwanza wa Shetani Kuhusu Kifo

Mada ya 5
6

Udanganyifu wa Kuwasiliana na Wafu

Mada ya 6
7

Mungu Pekee Ndiye Asiyekufa

Mada ya 7
8

Tumaini la Ufufuo

Mada ya 8

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Ahadi ya Kurudi kwa Yesu

Mada ya 1
2

Wazee wa Agano la Kale Walizungumziaje Kurudi kwa Yesu?

Mada ya 2
3

Yesu Atakuja kwa Namna Gani?

Mada ya 3
4

Watu Watakuwa Wakifanya Nini Yesu Ajapo?

Mada ya 4
5

Je, Tunaweza Kujua Siku na Saa ya Kurudi kwa Yesu?

Mada ya 5
6

Dalili za Kurudi kwa Yesu

Mada ya 6
7

Nini Kitawatokea Waovu Yesu Ajapo?

Mada ya 7
8

Uamuzi wa Kujiandaa kwa Kurudi kwa Yesu

Mada ya 8

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza
1

Mpango wa Mungu wa Mbingu Mpya na Nchi Mpya

Mada ya 1
2

Sifa za Yerusalemu Mpya

Mada ya 2
3

Mti wa Uzima Katika Mji Mpya

Mada ya 3
4

Yerusalemu Mpya Utashuka Duniani

Mada ya 4
5

Mwisho wa Waovu na Dhambi

Mada ya 5
6

Ahadi za Mungu kwa Watakatifu Wake

Mada ya 6
7

Watoto na Wapendwa Katika Nchi Mpya

Mada ya 7
8

Tutakuwa na Mwili wa Namna Gani?

Mada ya 8
9

Maisha Katika Nchi Mpya

Mada ya 9
10

Jinsi ya Kuwa na Uhakika wa Kuingia Katika Ufalme wa Mungu

Mada ya 10

Jaribio la Moduli

Maswali 5 · Alama ya kufaulu 100%

Ingia Kwanza