“Tuwe na hekima kama nyoka na tupole kama hua.” — Mathayo 10:16
Mbweha hujulikana kwa ujanja na akiliza kuishi hata kwenye mazingira magumu. Mkristo anapaswa kutumia hekima kwa ajili ya ufalme wa Mungu.
“Hekima ya kweli ni kumcha Mungu.” —Education, uk. 17
Bwana, nijalie hekima ya kukutumikia kwa uaminifu.
Tafakari
