“Mimi ndimi mzabibu; ninyi ni matawi.” — Yohana 15:5
Tawi lisilo na mzabibu hukauka. Vivyo hivyo, tukitengwa na Kristo, hatuwezi kuzaa matunda ya rohoni.
“Kila tawi linalodumu kwa Kristo litazaa matunda ya haki.” — Desire of Ages,uk. 676
Ee Yesu, nishike karibu nawe kila siku ili nizae matunda mema.
Tafakari
